MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, akimkabidhi cheti cha ubalozi wa Utalii wa Zanzibar, kiungo wa Timu ya PSG ya Ufaransa aliewahi kuchezea timu ya Manchester United, Ander Herera katika Ofisi zake zilizopo Baraza la Wawakiishi, Chukwani Zanzibar. (Picha na OMPR)

(Picha na OMPR)